Katika kile kitendo ambacho kilikua kikisubuliwa duniani kote juu ya kura wapigazo wananchi wa Uingeleza. Majibu ya kura hizo yamepatikana leo baada ya Wananchi kupitisha kwamba Uingeleza ijitoe kwenye Umoja wa Ulaya. Wakati huo huo Waziri Mkuu wa Nchi hiyo Donald Cameroon amejiuzulu kutoka kwenye wadhifa wake huo wa sasa na kusema kukabidhi madaraka hayo ndani ya miezi mitatu. Wananchi wa Uingeleza wakiwa na furaha sana katika miji mingi .
Katika Soko la Dunia pound imeshuka kwa kiasi kikubwa sana katika soko la kubadili fedha.
No comments:
Post a Comment